Diet ya mayai ni aina nyingine ya diet fupi inayofahamika sana katika kupunguza uzito. Kama kawaida kwa diet zote fupi, hii pia imeundwa kwa ajili ya kusaidia kupunguza uzito mkubwa pale unapokuwa na dharura....
Ni kweli siku njema huanza asubuhi. Hata katika harakati za kupunguza uzito hatua unazozichukua asubuhi ndiyo huamua siku yako itakuwa na mafanikio au la. Mara nyingi watu wanaofanikiwa katika safari zao za kupunguza uzito...
Kundi la watu ambao hupata changamoto zaidi katika kupunguza uzito ni wanafunzi wanaoishi kwenye hostel. Vyuo vingi haviruhusu wanafunzi kupika vyakula vyao hivyo kusababisha wengi wao kuishia kutegemea kununua vyakula ambavyo mara nyingi haviendani na misingi ya afya ya lishe.
Wengi tunawafamu watu ambao tunawaona wanakula sana tena kuzidi hata tunavyokula sisi ila hawanenepi hata kidogo! Inadhaniwa kuwa watu hawa wamezaliwa na uwezo wa kuwa wembamba na wenye afya maisha yao yote lakini ukweli ni kwamba…
Sehemu hii ya pili ni muhimu kwako kama umewahi kupatwa na tatizo hili la kuongezeka uzito kila baada ya kupungua. Ukifata dondoo hizi basi kuwa na uhakika kuwa hautakuja kupata shida ya kuongezeka uzito kila baada ya kupungua
Baada ya kupunguza uzito mwili wako automatically utaanza kukulazimu kula chakula kingi ili kulipizia virutubisho vilivyokosa wakati unafata aina hizi za diet kwa hiyo kukufanya kurudia uzito wako wa kawaida
Ndani ya wiki sita mwili wako utakuwa umepiga hatua kubwa kuelekea kurudi kwenye saizi yake ya mwanzo! Usikose kufanya mazoezi kwa kufuatilia mlolongo wa kwenye kitabu
Diet ya vyakula vibichi haikuwa inafahamika sana hapo zamani lakini katika miaka ya hivi karibuni imepata umaarufu mkubwa sana duniani kutokana na watu wengi kutoa shuhuda za kupunguza uzito mkubwa sana kwa kuifata. Diet...
Kuna njia nyingi za kupunguza uzito haraka lakini nyingi huwa zinakulazimisha ukae na njaa siku nzima hadi unajisikia kukata tamaa!. Hii ni njia rahisi zaidi kwa sababu una uwezo wa kula ukashiba na kukifurahia chakula.
Hello!
Ninaitwa Gigi, baada ya kuhangaika kwa miaka mingi sana kutokana madhara ya kuwa na uzito uliopindukia niliamua kubadilisha maisha yangu na kuanza kujifunza kwa undani zaidi jinsi ya kupunguza uzito na kuishi maisha ya afya.
Kwa miaka mitano nimekuwa nikiandika makala mbalimbali kuhusu ya uzito wa mwili lakini baada ya kugundua kuwepo pengo kubwa katika elimu ya kupunguza uzito wa mwili kwa lugha ya Kiswahili mtandaoni nikaamua kuanzisha blog hii ili kuhakikisha kila mtu anaweza kujifunza bila kizuizi cha lugha.
COMMENTS MPYA!